Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,515
- 6,489
Nikiomba pochi yako utanipa? Si utasema nataka nichunguze na simu yako nione kuna nini?..... Nadhani pochi ya mwanamke ina mengi na some privacy inatakiwa.... hautasema ni mapenzi utasema ninakuchunguza.
Ni kweli mkuu, ingekuwa hizo pochi hazina siri za ajabu basi marais au mabosi wakubwa wanawake wasingekuwa wanabeba pochi zao wenyewe, wengewapa wabebe wasaidizi wao.