Wanaume hii kitu ni sawa?

Yah itakuwa movies, maana ukiwa na familia unakuta huwezi tazamavitu unavyopenda. Mimi mfano napenda crimes and investigation toka nimeanza kuishi na familia sitazamitena maana wao hawapendi wanapenda mitamthilia sijui gangaa. Ningekuwa mtu ambaye napenda kwenda kwa watu basi ningekuwa naenda kwa mshikaji check series, lakini mimi si mtu wa hiivyo.
 
Tukiwa wadogo tulikua tunaambiwa tusicheze na watoto ..tukae na wakubwa zetu kidogo ...na hao wakubwa zetu wamekatazwa kukaa na watoto ambao ndo sisi sasa basi ni tafrani tupu.... Sometime inatokea ni vibe tu mnaelewana mnamatch vitu kadhaa nishakaa na watu sikujua umri wao kwangu ni wadogo sana nilijua badae lkn kwa kipindi tumekaa wote sikuwahi ona tatizo
 
Kakua miaka tu huyo ila akili bado ya kitoto. Kufuatana fuatana kama hakuna la ziada basi ni utoto.
 
Hivi ni kwa nini akili zetu mara nyingi zinawaza Uovu zaidi kuliko Mema!?
 
Mumeo anamtumia huyo kijana kama kuwadi wake kutafuta michepuko.

Itakuwa huna nyama ya ulimi, na siyo mtundu kwa bed ndiyo maana mumeo anadanga.
 
Mumeo anamtumia huyo kijana kama kuwadi wake kutafuta michepuko.

Itakuwa huna nyama ya ulimi, na siyo mtundu kwa bed ndiyo maana mumeo anadanga.
😂😂😂😂 Jf idumu
 
Acheni fikra potofu Urafiki hauna kiwango cha umri haswa kuanzia 18 above. Kuna umri wanaume hua mnakua sawa kwa sababu mnafanan majukumu hivyo kufanana pia mitazamo,maadili nk.ata akiwa umri kama wa baba bado sio tatizo ilimradi kira mtu anaheshimu urafiki wetu.
 
Si tuliwaambia msiichague CCM, shauri yenu
 
Kama ni urafiki wa maendeleo siyo mbaya lakini kama ni kinyume na hapo ndiyo mbaya.
 
Absolutely
Nimeipenda hii!
 
A mentor and his protégé don't spend all time together
There is something fishy
 
Positive thinking.
 
Hata kama ni wa umri sawa na wake, ukishaoa kuna muda wa familia na muda wa marafiki.

Unless ni business partner ndo muda mwingi kama huo wanaweza kuwa pamoja kibiashara au kikazi. Siyo kwa story kila siku hapana.
 
Yaani hiyo ni kawaida sana kuoa kwa mtu hakumzuii kujenga urafiki na vijana wadogo kuna vitu watakuwa wanamatch ondoa mawazo mgando
 
Mumeo anamtumia huyo kijana kama kuwadi wake kutafuta michepuko.

Itakuwa huna nyama ya ulimi, na siyo mtundu kwa bed ndiyo maana mumeo anadanga.
Hii ni pointi tena kubwa maana na mimi kuna brother jamaa yangu huwa namfanyia mitikasi kwa wingi tu na yote inasababishwa na mkewe kunyimana nyimana sio dili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…