Mwanaume kulia lia/kuongelea/kulalamika juu ya mapenzi ni dalili za uchoko. Mwanaume kulalamika kuhonga ni uchoko, unataka uhongwe wewe! Uanaume ni majukumu ikiwa ni pamoja na kuhonga. Mwanaume kufanya birthday party ni uchoko tena siku hizi mnatoa cards na kumwagiana maji kama mademu. Mwanaume kuangalia tamthilia ni uboya. Mwanaume kufuatilia habari za kina Wema/Shilole na zote za udaku ni uchoko. Mwanaume kwenda kuombewa ili ufanikiwe badala ya kukomaa na kujiombea mwenyewe ni uboya pia. Mambo mengine achieni wanamama nyie komaeni kutafuta pesa.
Sio mdau mkubwa wa MMU ila Imenibidi niandike uzi huu baada ya kukasirishwa na mada zinazotawala siku hizi JF za wanaume kulalamikia mambo ya kijinga kabisa na kuomba ushauri kwa kitu ambacho hata mtoto anaweza jua nini cha kufanya. Lini kibao kiligeuka wanaume wakaanza kulia mapenzi badala ya wanawake maana kila uzi siku hizi ni mijamaa inalia lia tu kiboya, no wonder kuna uhaba wa nguvu za kiume. Smh
Ila serious wanaume mmezidi you are too much....
Ha ha ha yani nyie mlikofikia mnasikitishaTuache tulalamike banaa
Mwanaume kumtumia msg mshikaji wako huku umeandika MY ni uboyaMwanaume kulia lia/kuongelea/kulalamika juu ya mapenzi ni dalili za uchoko. Mwanaume kulalamika kuhonga ni uchoko, unataka uhongwe wewe! Uanaume ni majukumu ikiwa ni pamoja na kuhonga. Mwanaume kufanya birthday party ni uchoko tena siku hizi mnatoa cards na kumwagiana maji kama mademu. Mwanaume kuangalia tamthilia ni uboya. Mwanaume kufuatilia habari za kina Wema/Shilole na zote za udaku ni uchoko. Mwanaume kwenda kuombewa ili ufanikiwe badala ya kukomaa na kujiombea mwenyewe ni uboya pia. Mambo mengine achieni wanamama nyie komaeni kutafuta pesa.
Sio mdau mkubwa wa MMU ila Imenibidi niandike uzi huu baada ya kukasirishwa na mada zinazotawala siku hizi JF za wanaume kulalamikia mambo ya kijinga kabisa na kuomba ushauri kwa kitu ambacho hata mtoto anaweza jua nini cha kufanya. Lini kibao kiligeuka wanaume wakaanza kulia mapenzi badala ya wanawake maana kila uzi siku hizi ni mijamaa inalia lia tu kiboya, no wonder kuna uhaba wa nguvu za kiume. Smh
Mie Bwana Sina Utu Wala Haki Sawa Wala Usawa,,,,gaddem Shiti Khanga Kando Ngumi Mkononi,,,,ye Anaongea Kwa Mdomo Mie Naacha Ngumi Zifanye Convo,,,,,,ndio Aende Kushtaki Domestic ViolenceHa ha ha yani nyie mlikofikia mnasikitisha
Shost angu, best angu kashtakiwa na mme wake amepelekwa polisi kwenye dawati la jinsia eti kamtukana mme wake.... Serious mwanaume na sharubu kama za paka anaenda polisi kumshtaki mke??? Mke kabisa??? Oooh men...
wanaboa sanaMwanaume kumtumia msg mshikaji wako huku umeandika MY ni uboya
Mwanamke kuweka x penye s ni uchoko