Wanaume chukueni hii

Wanaume chukueni hii

Mwanaume ni lazima uwe mtu wa kupindua meza, la sivyo Ile kanuni ya asili itakuhusu wakati wowote ule.
IMG-20190823-WA0004.jpeg
 
ndugu hawa viumbe hawatabiriki. mwaka wa kwanza utamuona ni malaika, kaa naye miaka 3 atakuwa zaidi ya shetani.

walikuja duniani kimkakati, kamwe usitarajie mbinu ya ndoa fulani unaweza kui-adopt ikazaa matunda kwenye ndoa nyingine.

kukugeuza chambo pale anapoona fursa na mitego yake imenaswa ni jambo dogo sana kama kumeza funda la mate hivyo usijidanganye. hata wachungaji, mashemasi, maaskofu (walio na vibali vya kuoa) peleleza ndoa zao ni fukuto tupu.

kikubwa pambana uokoteze kile kinachopatikana ila usitarajie jipya kwa hao viumbe JAPO SI WOTE.

"1 Petro 3:7
[7]Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe.
Fanyeni kazi
 
Mzee mbona mke wangu ana phd

Na maisha yanaenda poa tu

Mi ndo nasaka masters
 
"asiwe mwenye kipato sana na asiwe msomi Sana"
Ikitokea akajiendeleza kielimu au kiuchumi akakuzidi utamuacha?
 
kuna mdada kaposti..

JIBU LA MJINGA Ni KUMKALIA KIMYA.

na sisi tumefuata ushauri wake tumemkalia kimya.
 
Let me warn you, dwag
I Could hit your bitch, you could never hit mine, nigga
In my PM, they electric slide, nigga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom