Bengalisis
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 1,851
- 2,771
"Mwanaume kumbuka kuoa mwanamke unae mmudu, asiwe mwenye kipato sana na asiwe msomi Sana. Usipoteze mda.. Na siku zote mwanaume mwenye kujua thamani ya mkewe ni mwanaume anaependa kumuona mkewe akiwa na tabasamu furaha na amani muda wote, huyu ni mwanaume anaeilinda faraja ya mkewe muda wote, hachoshwi na changamoto za mkewe hata siku moja, ni mvumilivu na mwenye huruma kuu kwa mkewe na ndoa yake kiujumla."