miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
- Thread starter
-
- #21
Wamekusikia, usipomuhudumia mke wako unataka ahudumiwe na nani, hii kweli ni kutojitambua, for me my woman comes first aisee mpaka hapo atakapoamua kinisaliti ndio haka kautaratibu katasitishwa(God forbid)..
we ndiyo kati ya wale msiojitambua
we ndiyo kati ya wale msiojitambua
it matters...sifa namba moja ya kuitwa mke ni kwamba yule anaye kuoa akukte wewe bado bikra. sasa wewe tayari used product tayari umeshuka thamani, huwezi ata siku moja kusema kuwa mwanamke anayeolewa akiwa bikra ni sema value kama ambaye tayari kashagegedwa. kuwa bikra kuonyesha huyo mtu anajithamini sana na kwamba na mvumilivu.
ni kweli mwanaume lazima ahudumie but in return anategemea kupata that gift ya virginity. its a give and take. sasa wewe the very gift ambayo alikuwa anaitegemea umegawa then obviously thamani yako imeshuka. lazima tujifunze kuishi na madhara ya uchaguzi wetu.
ukiona umuhudimii mkeo au mpenzio jua kuna anayejielewa anamuhudumia
Halafu kaguswa
atakaye like huu uzi nitamshangaa sana!!! yaani huyu miss chagga haelewi kabisa:
1.papuchi siyo dili siku hizi zinapugua ladha siku hadi siku!
2.unapotoroka kwenu kuja kwangu wewe ndo ----- siyo mimi...
3.kuzaa kwa uchungu siku hizi hatutaki watoto wanakuwa mapanya road tu!
4.nakushangaa kipindi sijakutongoza ulikuwa unaishi vizuri kwenu na unahudumiwa kila kitu nilivyokutongoza mimi basi shida zote unanishushia mimi kisa nakutia tu!!! acheni hizo mtu anapokuhudumia shukuru ilibidi akuhudumie akikuoa!!!
5.kwa mlioolewa poleni sana yaani ukweli huwa tunakinai na papuchi aina moja ndo maana mtu anashinda bar coz haoni tena ladha imetanuka sana mpaka uingize gegedo na mkono mmoja sasa ya nini yote hayo!!!
ukiona umuhudimii mkeo au mpenzio jua kuna anayejielewa anamuhudumia
Kama haya ndio mdada anayafanya, hamna sababu ya kumhudumia. Ajihudumie mwenyewe.......
ninaaga wazazi ndugu nakuja kwako wakati mwingine natoroka alafu nakuja ili utumie pesa yangu mfyuuuu koma kabisa mwanaume amka ... mwanaume si kujua kitundu cha papuchi bali mwanaume ni MAJUKUMU....
mkuu hadi mimi sijakuelewa kwanza umequote vibaya halafu hueleweki unaongelea nini...!!!!habari wanajf..
kichwa cha habari cha jieleza .... leo nataka kuwakumbusha ninyi wanaume wa dot.com na wazamani msiojitambua bado na kulalama lalama tu... unakuta mwanaume amakeaa kabisa unapigia bajeti mfuko wa mpenzio au mkeo wewe huna akili... wanawake tunamajukumu yetu kubeba mimba na kulea familia ....we take a lot of risk during this time sema amuelewi tu......alafu mwanaume unalalamika. kama ni kusaidiana mbebe mimba na ninyi, na mlee familia siye tukasake chapa.........wanawake tumetoka kwenda kuanza kufanya kazi kwa sababu ya mambo matatu:
kwa hiyo kutokana na hayo mambo matatu ndipo vibinti na wamama tukaamua kutafuta riziki tusije kufa na wenetu mgongoni.....ila kubwa lilipelekea kuanza kutoka ni hilo la kwanza wanaume kutojitambua...... mwanaume unashinda bar unalewa unajiloweka kwenye papuchi tu jumatatu mpaka jumatatu alafu unakaa unasema mwanamke asiyefanya kazi ni mzigo huna adabu wala heshina na HAUSTAHILI KUITWA MWANAUME kabisa.....
- wanaume kutokujielewa na kusahahu majukumu yao.
- upendo
- hali ya uchumi.
mwanume mwingine lege lege tu ndiyo maana now days mnaliwa tigo tu na wanaojitambua.... acheni kulalama fanyeni kazi.. huwa napata hasira sana kuona jianaume linalalamika kumuhudumia mkewe, ulitongoza ya nini?
mwanaume anayejielewa he can stand by him self..... lakini si unakikazi cha laki 3 kinyumba cha room tatu na bahati kigari umerelax unashinda bar alafu hapo hapo unategemea hela ya mwanamke.....
sikatai wanawake kufanya kazi, ila pia napinga upuuzi wa wanaume kukaa na kulalama kabisa wanapohudumia wake zao au wapenzi wao.... unatongoza ya nini kama wewe mwenyewe kujihudumia huwezi?????? unaongeza mtu mwingine tena kwa kumwomba na kumpigia misele alafu uje ulalame hapa.....babu ee ukitongoza jiandae kwa majukumu mengine........
ninaaga wazazi ndugu nakuja kwako wakati mwingine natoroka alafu nakuja ili utumie pesa yangu mfyuuuu koma kabisa mwanaume amka ... mwanaume si kujua kitundu cha papuchi bali mwanaume ni MAJUKUMU....
Weekend njema >........ ujumbe wa leo "TONGOZA UKIJUA KUNAKUHUDUMIA"
[/QUOTE miss chaga kwanza punguza povu ili tujadiliane vizuri. Hebu kwanza niweke vizuri,ni mwanaume yupi hapa unamzungumzia..!! Aliyekuoa,wa kupiga na kutoka,mpenzi,mchumba au wote kwa ujumla wao!? Ukinijibu ntarudi kwa mchango zaidi.
Kuna mwanaume kalala sa hiziii acheni utani
Unasema papuchi sio dili?
mxuuuuuueeeeouu jana wewe siulikuwa wa comment jinsi ulivyokuwa wavuruga papuchi zawatu leo hii wasema hazina laza ovyooooo,kama azina laza mbona mwafumaniwa kila siku?
Wee jitoe ufahamu tu hapo ila tena wewe ndo mpenda papuchi mzuri tu, tena uwache kulalama hahahahaha.
Alafu wasema zatanuka kumbuka kwako kinyesi kwa mwenzio dhahabu teh teh upo mwisho wasiku utaishia kuchapiwa tu mxxxxuxxxxxuuuuuiiiiiii!!:A S wink:
noo!!! bado kwa point aliyoongea hakuna kilichonigusa!!!
we mwenyewe cheki unakuta mfano wote mnasoma chuo bumu mnapata sawa ila anataka bumu langu achukue yeye akili gani sasas hiyo!!!!!
Kuna mwanaume kalala sa hiziii acheni utani
Hahaha,unanipa raha.kwa kweli Mimi mwenyewe nimemuacha MTU kwa sababu hii.kwa sababu sipendi kukaa na MTU ambaye hana msaada.MTU unaweza ukaugua ukimwambia anakujibu "hivi kwani Mimi ni daktari"
Unasema papuchi sio dili?
mxuuuuuueeeeouu jana wewe siulikuwa wa comment jinsi ulivyokuwa wavuruga papuchi zawatu leo hii wasema hazina laza ovyooooo,kama azina laza mbona mwafumaniwa kila siku?
Wee jitoe ufahamu tu hapo ila tena wewe ndo mpenda papuchi mzuri tu, tena uwache kulalama hahahahaha.
Alafu wasema zatanuka kumbuka kwako kinyesi kwa mwenzio dhahabu teh teh upo mwisho wasiku utaishia kuchapiwa tu mxxxxuxxxxxuuuuuiiiiiii!!:A S wink:
ha!!! ha!! ha!! ha!! ha!!
kupanic ni ishara tosha kuwa umeelewa somo!!!!