Chadema 2030
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,913
- 3,738
Mida si ni ile tuliopanga au mumeingiwa na uoga.maana ile siku ni leo ya kazi.
tumewacha wahesabu hasara ya kutandaza askari mji mzima kwanza!Mida si ni ile tuliopanga au mumeingiwa na uoga.maana ile siku ni leo ya kazi.
subiri 8/8 na MO29Tangazeni tena maandamano siku ya kazi banah! Hii ya leo hata hawajapata hasara, for, serikali leo ni public holiday. Watieni hasara Jtano, Alhamisi, Jtatu, Jnne au Ijumaa. Wameziba masikio.