Kijogoodi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 1,363
- 2,372
Nimetonywa kwamba kuna kundi la wana ccm liliokaliwa kooni kwenye utawala wa awamu ya tano limeumizwa mno na kifo cha mwendazake maana walitaka asitaafu 2025 alafu ndiyo waanze kumnanga mbele ya macho yake akiwa hana nguvu ya kuwafanya lolote.
Wanaopotosha sasa hivi deni la taifa ,ujenzi wa SGR , ununuzi wa ndege, ujenzi wa bwawa la umeme wangefurahi mno kama wangepotosha mbele ya macho ya mwanzilishi wa hivyo vitu
Wanaopotosha sasa hivi deni la taifa ,ujenzi wa SGR , ununuzi wa ndege, ujenzi wa bwawa la umeme wangefurahi mno kama wangepotosha mbele ya macho ya mwanzilishi wa hivyo vitu