Achana Na huyo Mbaguzi mkuu!....Onyesha uzalendo Ajiri wewe Watanzania wenzako!Acha upuuz wewe,ajiri wabongo wenzio.
Kauli yako ya "kutoka Kenya au Uganda" ina utata.Wanatafutwa Waalimu wa Chekechea kutoka Kenya/Uganda, Shule yenyewe ni English Medium na ipo mkoani Masama Ng'uni - Marukeni Kilimanjaro,
Kwa mawasiliano Piga Simu namba 0715393977
Hujakosea nduguBeba shule yako upeleke Kenya uko au Uganda ukatafute na wanafunzi huko
Siyo tata Kiongozi, inajitosheleza, hakuna mahali inasema kusomea au aliyekuwa safarini bali Mwalimu ana uzoefu wa Kufundisha Kenya/Uganda hata kama akiwa ni Mtanzania anafundisha au aliwahi kufundisha Kenya/ Uganda it doesnt matterKauli yako ya "kutoka Kenya au Uganda" ina utata.
1. Aliyesomea Kenya au Uganda.
2. Aliyekuwa safari Kenya au Uganda.
3. Raia wa Kenya au Uganda.
Rekebisha kauli yako hiyo kwanza kwabla hujaanza kukataa.
Kiongozi, kazi ya ualimu wa chekechea nini, zipo nafasi kibao kwenye hizi taasisi binafsi zinahitaji watu ambao ni aggressive siyo kama wabongo wengi wana vyeti vikubwa lakini hawawezi kitu,Mwigulu Nchemba shirikiana na waziri mwenzako wa kazi kudeal na hawa wahuni wanaowanyima fursa vijana wa kitanzania wanaolalamika kukosa ajira.