Wanasimba mkubali shabalala kawaacha just move on!

Wanasimba mkubali shabalala kawaacha just move on!

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
16,748
Reaction score
28,138
I salute you kinsmen

Kiukweli kuna jambo linatatiza sana sana!

Kuna team ipo hapo kariakoo na jengo Lao la msimbazi la mchongo huwa ina matatizo makubwa sana

Wao hawakubaligi kuwa wameachwa hata siku moja!

Kwa wanasimba vichwa mbonyeo kama Tui TAI DUME Lupweko Scars hawa jamaa wanataka mchezaji akae kwao mpaka anakufa!

Hawajui kama mchezaji ana familia na maisha mengine pia wao wanadhani wachezaji ni team za baba zao hizo

Simba hamtaki kumove on kwanini? Shabalala ameshawaacha kwa mabingwa yanga na huku bado mnamuombea dua mbaya eti aozee benchi!
No haiwezekani atacheza na mbona anapokelezana na boka? Au mlizoea kama kule kwenu anacheza mechi zote mpaka za mabonanza??

Huku yanga mambo yanaenda kitaalamu tu mchezaji huwezi kucheza mechi zote mashindano yote!

Na bado ukionyesha uwezo utacheza tu, sasa nyie shabalala alikuwa hata kama kachoka mnamforce acheze hivyo hivyo..

Kawakimbia sababu aliona muda unasonga na haieleweki team ipo ipo tu kama kilabu cha wanywa gongo na wanzuki sasa kwanini asiende kwa team yenye mipango kabambe na maisha mazuri?

Pesa za usajili za msimu uliopita alipoongeza mkataba hamkumlipa halafu bado mkataka aongez emkataba? Yaani mlitaka kusongesha?

Nyie bwana move on alishawaacha hakuna haja ya kumfuata fuata

Hata kama alikuwa anawapelekea moto vizuri just be a good woman and find other man..

Its Pancho
 
Wewe zwazwa lete mada iliyoandikwa na hawa uliyowataja.Ndio maana unaleta mada na kujijibu mwenyewe. KIMOJA cha Silver Strikers bado kipo mgongoni.Tafuta suluhisho la matatizo yenu Utopolo usiruke ruke kama bisi kwenye microwave.
 
Wewe zwazwa lete mada iliyoandikwa na hawa uliyowataja.Ndio maana unaleta mada na kujijibu mwenyewe. KIMOJA cha Silver Strikers bado kipo mgongoni.Tafuta suluhisho la matatizo yenu Utopolo usiruke ruke kama bisi kwenye microwave.
Mbona povu babu?

Hebu onyesha nilijijibu mwenyewe wapi?

Wewe majuzi tu ulikuwa unalalamika shabalala kuondoka sasa unakana nini?.

Ukiachwa achika bwana
Kwanza umetoka nje ya mada wewe kichwa mbonyeo
 
Mbona povu babu?

Hebu onyesha nilijijibu mwenyewe wapi?

Wewe majuzi tu ulikuwa unalalamika shabalala kuondoka sasa unakana nini?.

Ukiachwa achika bwana
Kwanza umetoka nje ya mada wewe kichwa mbonyeo
Wewe msenge lete hiyo post nikilalamika huyo mla pension ameondoka!Ukileta ushahidi huo naondoka JF.Wacha kuzulia wanaume katafute bwana kama unawashwa.
 
Hivi kweli kuna mwanasimba ambaye bado anamfikiria shabalala mbona ana kiwango cha kawaida sana huko utopoloni
Wapo wengi sana kama niliowataja hapo

Kuna huyu mwanasimba Tui
Shabalala kiwango chake kitakua tu muda bado
 
Hii mada inakujaje Leo? Simba akimuuzia mchezaji yanga ujue yupo kwenye retiring age ya kula pension. The likes of chama alianza kutakwa na yanga misimu Kitano nyuma lkn simba haikumwachia lakini alopochoka kama shaba na mkude ndio wamekuja kula pension huko.

By the way staki kuamini huko utoponi mnajua wamalawi wamewafunga coz simba inamloga zimbwe!!!? Wenye akili hawaongezeki huko sana sana watapungua tuu.
 
Yanga ni sehemu ya wachezaji wa Simba kila pension,nani anawaza kuhusu Shabalala hata Yanga anakaa benchi. Kuwa serious usianzishe mada za kipuuzi umiza akili kidogo
 
  • Thanks
Reactions: Tui
I salute you kinsmen

Kiukweli kuna jambo linatatiza sana sana!

Kuna team ipo hapo kariakoo na jengo Lao la msimbazi la mchongo huwa ina matatizo makubwa sana

Wao hawakubaligi kuwa wameachwa hata siku moja!

Kwa wanasimba vichwa mbonyeo kama Tui TAI DUME Lupweko Scars hawa jamaa wanataka mchezaji akae kwao mpaka anakufa!

Hawajui kama mchezaji ana familia na maisha mengine pia wao wanadhani wachezaji ni team za baba zao hizo

Simba hamtaki kumove on kwanini? Shabalala ameshawaacha kwa mabingwa yanga na huku bado mnamuombea dua mbaya eti aozee benchi!
No haiwezekani atacheza na mbona anapokelezana na boka? Au mlizoea kama kule kwenu anacheza mechi zote mpaka za mabonanza??

Huku yanga mambo yanaenda kitaalamu tu mchezaji huwezi kucheza mechi zote mashindano yote!

Na bado ukionyesha uwezo utacheza tu, sasa nyie shabalala alikuwa hata kama kachoka mnamforce acheze hivyo hivyo..

Kawakimbia sababu aliona muda unasonga na haieleweki team ipo ipo tu kama kilabu cha wanywa gongo na wanzuki sasa kwanini asiende kwa team yenye mipango kabambe na maisha mazuri?

Pesa za usajili za msimu uliopita alipoongeza mkataba hamkumlipa halafu bado mkataka aongez emkataba? Yaani mlitaka kusongesha?

Nyie bwana move on alishawaacha hakuna haja ya kumfuata fuata

Hata kama alikuwa anawapelekea moto vizuri just be a good woman and find other man..

Its Pancho
Captain la hovyo.
 
Yanga ni sehemu ya wachezaji wa Simba kila pension,nani anawaza kuhusu Shabalala hata Yanga anakaa benchi. Kuwa serious usianzishe mada za kipuuzi umiza akili kidogo
Hayo ndio maneno ya mfamaji? Msimu uliopita na sasa ana tofauti gani? Si ndio yule yule tu?

Siwezi kuumiza kichwa kwa sababu ya upumbavu wa wanasimba kichwa umiza wewe hapo

Move on mzee
 
Kweli aliyewaita Utopolo hakukosea yaani mnategemea babu ajipate?

Simba wamemtumia miaka yote huko kaja Utopolo kumalizia maisha yake ya soka
Mara hii amekuwa babu? Msimu uliopita hapo msimbazi alikuwa kijana ila sasa ni babu?

Hizi ndio chuki tunazosemea move on wansimba shabalala amechagua mafanikio
 
Hii mada inakujaje Leo? Simba akimuuzia mchezaji yanga ujue yupo kwenye retiring age ya kula pension. The likes of chama alianza kutakwa na yanga misimu Kitano nyuma lkn simba haikumwachia lakini alopochoka kama shaba na mkude ndio wamekuja kula pension huko.

By the way staki kuamini huko utoponi mnajua wamalawi wamewafunga coz simba inamloga zimbwe!!!? Wenye akili hawaongezeki huko sana sana watapungua tuu.
Hizi ndio chuki sasa
Kwani Morrison na gadiel, beno walikuja kufanyaje kama sio tuseme kula pension?

Wakaishia benchi mpaka kuwaacha? Hasa beno na gadiel? Mbona hatukulalamika?

Mtu akitoka yanga kuja simba mnaanza visingizio ila akitoka yanga kuja simba ni kawaida?

Upuuzi move on mzee la sivyo mtaendelea mikono mitupu kila mwaka
 
Alianza Mwenyewe Acha Wamkande, Umekaa kwenye timu kwa miaka 10+ na na mafanikio ya maisha yako % kubwa umeyapatia hapo baada ya kuondoka mashabiki wakataka kuendelea kukupa heshima unawakataa na kejeri ya kuadhiaki

Acha aanyooshwe Mpumbavu huyo
 
Alianza Mwenyewe Acha Wamkande, Umekaa kwenye timu kwa miaka 10+ na na mafanikio ya maisha yako % kubwa umeyapatia hapo baada ya kuondoka mashabiki wakataka kuendelea kukupa heshima unawakataa na kejeri ya kuadhiaki

Acha aanyooshwe Mpumbavu huyo
Heshima gani?
Mlishindwa kumpa heshima yake kwa kushindwa hata kumlipa pesa zake kwa wakati heshima gani hiyo??

Ndio maana kaamka kusepa kwenda kutafuta pesa zaidi heshima mbwembwe tu

Sasa msimuongelee na yeye ana familia pia
 
Back
Top Bottom