Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 2,719
- 6,507
Unaongea kwa mihemko na hujui lolote kuhusu zimbwe kuondokaHeshima gani?
Mlishindwa kumpa heshima yake kwa kushindwa hata kumlipa pesa zake kwa wakati heshima gani hiyo??
Ndio maana kaamka kusepa kwenda kutafuta pesa zaidi heshima mbwembwe tu
Sasa msimuongelee na yeye ana familia pia
Kwamba mashabiki ndo walikataa kumpa pesa?Japo kua si kweli kua walikataa kumpa pesa, ugomvi wako na uongozi unaupelekaje kwa mashabiki waliokua wanakupa sapot kwa muda wote uliokua klabun?
Zimbwe ni Mjinga kwa muda aliokaa Simba akupaswa kabisa kua na tofauti na Mashabiki waliokua wamapenda na kumpa sapoti
Uongozi wa timu unabadilika mashabiki wapo ni walewale