Wanasiasa wa CCM ndio wamiliki wakubwa wa migodi nchini, Kwa nini wanapiga kelele za Mabeberu

Wanasiasa wa CCM ndio wamiliki wakubwa wa migodi nchini, Kwa nini wanapiga kelele za Mabeberu

Sio madini tu
huko kwenye mbuga za wanyama zoote wamejimegea vitalu

Hawa pimbi ni kichomi!
Samweli sita alikwenda kuwekeza kwenye madini ya DHAHABU akiwa na kama BL 3 Hivi. kilichomkuta ni msiba mzito sana. pesa ilipotea yote hajaambulia chochote
pesa za wizi
 
Back
Top Bottom