Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,592
- 11,831
Huyu ndio hua anatuhubiria kuwa ndege hazina faida kwa watanzania. Kwa hali hii basi wanasiasa ni watu wanafiki Sana hapa duniani anaweza pinga ama kusifi kitu kwa masilahi yake.
Mifano ni hii;
Mch Peter Msigwa alipomuomba Radhi mzee Kinana kwa kupaka matope kuwa ni Jangiri kwa masilahi yake ya kisiasa. Naamini baada ya uchaguzi Kuna watu wengi sana wataomba radhi kwa huu unafiki unao endelea.
Sasa hivi Kuna Wana siasa wanapinga Tanzania kupata 60% kwenye bomba la mafuta.
Wengine wanapinga Ujenzi wa bwawa la umeme kwamba watanzania hawana haja nalo kwa sasa.
Watanzania hawali barabara na madaraja, kipindi Cha masika daraja likikatika kwa siku mbili tu utawasikia wakisema hakuna miundombinu ya kutosha.
Hatuna haja na ndege huku yeye anapanda, hapo wamesahau zile kauli zao kuwa ni aibu kubwa kwa nchi Kama Tanzania kukosa ndege hata moja.
Kuna mwanasiasa mmoja yeye alituambia kuwa nchi hii imeliwa sana wakati yeye alikuwa ndani ya baraza la mawaziri kwa miaka 20.
Mifano ni hii;
Mch Peter Msigwa alipomuomba Radhi mzee Kinana kwa kupaka matope kuwa ni Jangiri kwa masilahi yake ya kisiasa. Naamini baada ya uchaguzi Kuna watu wengi sana wataomba radhi kwa huu unafiki unao endelea.
Sasa hivi Kuna Wana siasa wanapinga Tanzania kupata 60% kwenye bomba la mafuta.
Wengine wanapinga Ujenzi wa bwawa la umeme kwamba watanzania hawana haja nalo kwa sasa.
Watanzania hawali barabara na madaraja, kipindi Cha masika daraja likikatika kwa siku mbili tu utawasikia wakisema hakuna miundombinu ya kutosha.
Hatuna haja na ndege huku yeye anapanda, hapo wamesahau zile kauli zao kuwa ni aibu kubwa kwa nchi Kama Tanzania kukosa ndege hata moja.
Kuna mwanasiasa mmoja yeye alituambia kuwa nchi hii imeliwa sana wakati yeye alikuwa ndani ya baraza la mawaziri kwa miaka 20.