RUCCI
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 1,701
- 1,714
Rais wa Chama cha Wanasheria Zanzibar(ZLS) Awadh Ali Said amesema Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar hana mamlaka ya kufuta matokeo ya uchaguzi kwa mujibu wa sheria
Amesema Tume haina nguvu kisheria kufanya hivyo.
Pia amesema hatua hiyo ya ZEC inaweza kuhatarisha amani ya Zanzibar
Chanzo: DW
View attachment Wanasheria wa Zanzibar wataka ZEC ifute tamko la kubatilisha.mp3
Amesema Tume haina nguvu kisheria kufanya hivyo.
Pia amesema hatua hiyo ya ZEC inaweza kuhatarisha amani ya Zanzibar
Chanzo: DW
View attachment Wanasheria wa Zanzibar wataka ZEC ifute tamko la kubatilisha.mp3