wanafamilia moja wamekuja kwangu wanataka wagawane mali walizochuma ndipo nikaomba kujua historian yao hadi kufikia hapo, ipo ivi.
Ilikuwa 2018 mahusiano yao yalianza na wakati huo mwanaume alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni moja aliajiriwa, ilipofika 2019 alifukuzwa kaz na kipindi chote icho walikuwa kwenye mahusiano na huyo binti alikuwa mjamzito na anaishi kwao, huyu mwanaume alikuwa na hakiba kidogo bank akachukua hiyo hakiba yake akanunua pkpk ili kuendesha maisha hadi yule mwanamke akajifungua wakat huo mwanaume bado anasubiri peza zake za ppf, 2020 yule binti akajifungua mtoto wa kiume, akaamua kumchukua na kuishi nae lakini hakumuoa wakawa wanaishi tu, pesa za ppf zilipotoka yule mwanaume akaamua kununua uwanja na pkpk nyingine, baadae akauza 1 akabakiwa na 1 2025 wakagombana na kila mtu akashika njia yake sasa mwanamke anataka wagawane mali yaani kiwanja na pkpk sasa iyo imekaaje kisheria nisaidieni WANASHERIA.