Wanasheria mko wapi kupinga suala la kodi mbili kwenye miamala?

Wanasheria mko wapi kupinga suala la kodi mbili kwenye miamala?

Kwakuwa hakuna mwanasheria yoyote akiye taka kujitokeza naomba niweke utaratibu unaopaswa kufanyika. Kwenye sheria hasa mambo yanahusiqna na haki za wengi au wachache kuna kitu kinaitwa Writs. Writs ni kitu au amri inayotolewa na taasisi yenye mamlaka hasa ya kiserikali.

Hizi Writs zipo 4 ambazo Harbeas Corpus, mandamus, certiorani na declaration. Kwa swala ambalo lipo hapa mwanasheria au mtu yoyote anayetaka kufungua shauri anapaswa kufungua shauri kwa Writs ya Certionari kuiomba mahakama kurejea maamuzi ya serikali na kuyazuia kuwa ni hamramu.
 
Hakika nilitarajiwa wanasheria wetu wangekuwa tayari wamefungua kesi mahakamani ya kupinga hii kodi mpya iliyotangazwa na serikali kwenye miamala. Wananchi tulio wengi hatuna ufahamu wa kusheria juu ya mambo ya kodi na ndio maana serikali ya ccm inatubambikizia kodi itakavyo ikijua hatuna cha kuifanya.

Tunawaona sana wanasheria wetu hebu fungueni kesi ya kupinga kodi hii wananchi tupo tayari kuwachangia gharama za kesi.Kodi hii ni maumivu kwa masikini na wanyonge walioipitisha kodi hii wanapokea mishahara minono na marupurupu mengi.

Wanakula kesi ya taifa.
Hili si jambo la wanasheria. Hili ni jambo la wananchi. Watanzania acheni kutaka kutafuniwa kila kitu. Tokea acheni woga. Kodi zinakwenda kutumika kwenye maisha ya anasa ya viongozi wa CCM.
 
A typical example of conflict of interest between legislators, business individuals and the majority impoverished citizens.
 
Hakika nilitarajiwa wanasheria wetu wangekuwa tayari wamefungua kesi mahakamani ya kupinga hii kodi mpya iliyotangazwa na serikali kwenye miamala. Wananchi tulio wengi hatuna ufahamu wa kusheria juu ya mambo ya kodi na ndio maana serikali ya ccm inatubambikizia kodi itakavyo ikijua hatuna cha kuifanya.

Tunawaona sana wanasheria wetu hebu fungueni kesi ya kupinga kodi hii wananchi tupo tayari kuwachangia gharama za kesi.Kodi hii ni maumivu kwa masikini na wanyonge walioipitisha kodi hii wanapokea mishahara minono na marupurupu mengi.

Wanakula kesi ya taifa.

171681944_1777322489111839_5451177839920777846_n.jpg
 
Back
Top Bottom