Kila mechi kwenye ligi kuu yetu unaona mtu aliyevalia koti lake au shati lake la kitenge anaingia na timu uwanjani na kupiga picha na marefa na makapteni.
Huu utaratibu tumeoutoa wapi au sisi ndio wa kwanza maana huko duniani (Ulaya) sijawahi kuona. Kazi yao ni ipi?
Huu utaratibu tumeoutoa wapi au sisi ndio wa kwanza maana huko duniani (Ulaya) sijawahi kuona. Kazi yao ni ipi?