kazikwanza1981
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,577
- 729
Tena wengine wanaovaa hizo nguo za ajabu ajabu wangekuwa wanajiangalia vizuri kwenye kioo hata wasingevaa, unakuta mtu anatembea kama anapika sarakasi miguu juu kichwa chini jinsi miguu ilivyo pencil. Wengine matumbo hatari tupu kisha wanavaa vinguo vya kubana. Jieshimuni wadada, sisi wanaume hatuvutiwi na na wasichana wanaovaa ovyo, bali tunachukuliwa kama cheap girls.