Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,508
- 13,976
Madalali kila kona,Siku hizi hadi madalali wa papuchi.
Asante sanaSasa hivi fanya mpango uwe freelancer. Yaani kulingana na elimu au juzi wako, unapost kazi unayoweza mfanyia mtu na bei zako zikoje.
Anayetaka, anakutafuta, mnachat, anaweza negotiate au unaweza mtumia bei tofauti kilingana na ukubwa wa kazi yake. Analipa hela, unaenda piga kazi faster.
Icheki hii site ya bongo inafanya hiyo kitu www.ajiras.com
Namba zao za simu pleaseKuna kampuni inaitwa Bravo Job Agency ofisi yao ipo Chang'ombe mitaa ya maduka mawili.
Vyema kama unahitaji watu makini wa kukutafutia kazi waone hawa jamaa wanafanya kazi kiofisi na wapo tangu miaka ya nyuma.