Chimdia
Senior Member
- May 19, 2017
- 172
- 173
Habari,
Katika mihangaiko yangu ya kutafuta ajira nimekutana na watu wanajiita mawakala wa ajira (kitu kama hicho).. yaani unawalipa na wanakuunganisha na ajira. Nimesikia kua hawa watu ni matapeli, je kuna walio wakweli? kuna mtu alishawai kutana nao na akapatiwa kweli kazi?
Katika mihangaiko yangu ya kutafuta ajira nimekutana na watu wanajiita mawakala wa ajira (kitu kama hicho).. yaani unawalipa na wanakuunganisha na ajira. Nimesikia kua hawa watu ni matapeli, je kuna walio wakweli? kuna mtu alishawai kutana nao na akapatiwa kweli kazi?