Kunani tarehe 15?Maana humu JF pia mods wataongezwa hiyo siku.
Kubana kila sehemu. Kweli HapaKaziTu. Au HapaGizaTu mbona sielewi.
Kunani tarehe 15?Maana humu JF pia mods wataongezwa hiyo siku.
apologize lady tunashare birthdayHalafu siku hiyohiyo ni BIRTHDAY yangu, bila kuna jambo Mungu analikusudia.
Kunani tarehe 15?Maana humu JF pia mods wataongezwa hiyo siku.
apologize lady tunashare birthday
Uchaguzi mnashinda mno Jf sasa wamestukia kupanda dau ili habari zisisambae kwa kasi, kweli Magufuli hana huruma na watz nazidi kumchukia Mimi na kijiji change wote hatumpi kura zetu ng'ooooo, aende bagamoyo akasimamie ujenzi kwa best yake
Uchaguzi mnashinda mno Jf sasa wamestukia kupanda dau ili habari zisisambae kwa kasi, kweli Magufuli hana huruma na watz nazidi kumchukia Mimi na kijiji change wote hatumpi kura zetu ng'ooooo, aende bagamoyo akasimamie ujenzi kwa best yake
Uchaguzi mnashinda mno Jf sasa wamestukia kupanda dau ili habari zisisambae kwa kasi, kweli Magufuli hana huruma na watz nazidi kumchukia Mimi na kijiji change wote hatumpi kura zetu ng'ooooo, aende bagamoyo akasimamie ujenzi kwa best yake