Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
jamani mimi bado sijaelewa hivi wanaotakiwa kuhama maeneo ya mabondeni kutokana na madhara ya mafuriko ni wakazi wa
jagwani peke yao maana naona watu wengi pamoja na raisi kutembelea wakazi wa jagwani na kusema watahamishiwa sehemu nyingine ............kutokana na maafa....hii inamaana wakazi wa kigogo,vingunguti na tabata waliojenga karibia na mto msimbazi......hawatahamishwa maeneo yale na wakazi wengine waliojenga mabondeni .......watabakia palepale tuu
jagwani peke yao maana naona watu wengi pamoja na raisi kutembelea wakazi wa jagwani na kusema watahamishiwa sehemu nyingine ............kutokana na maafa....hii inamaana wakazi wa kigogo,vingunguti na tabata waliojenga karibia na mto msimbazi......hawatahamishwa maeneo yale na wakazi wengine waliojenga mabondeni .......watabakia palepale tuu