Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Hahaaaa haaaaaa Tanzaniaaaaa
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi bwana Mwigulu Nchemba anadai kuwa taasisi yoyote (NGO) itakayotetea au kupingana na amri ya rais ya kuwaruhusu watoto watakopata ujauzito kurudishwa shuleni na kuendelea na masomo atazifuta zote.
Hii ikiwa ni kusema yoyote atakayetetea watoto hao asasi yake kufutwa.
Tukisema nchi inaelekea kuwa ya kidkteta tunaonekana wabaya ila ndo hali halisi ya nchi inakoelekea.