kuna ukweli wowote apa....
kwamba lazima uwe umesoma advanced physics kwa kila kozi ya afya , kama nursing, medical lab, na nyingnezo ukiachana na md na pharmacy...!!!?
ofcoooz phyz inamata sana. nafkiri jaribu kudownload guid book uone mwenyewe.. condition ya phyz ipo.. tofaut na hapo abda kma olevel ulipiga phz fresh unachukuliwani kweli kabisa, ingia nacte ujionee mwenyewe