Wanaotafuta nyumba za kupanga

Wanaotafuta nyumba za kupanga

Joined
Nov 25, 2013
Posts
56
Reaction score
9
Kwa wale wanaotafuta nyumba za kupangisha kwenye maeneo yafuatayo ; makumbusho, mikocheni, kijitonyama,mwananyamala, na maeneo ya karibu na hayo tuwasiliane
Simu namba 0716 85 06 95
Email joe.sam99@yahoo.com
 
vyumba viwili,jiko,sitting room,choo na bafu,ndani ya fensi na sehemu ya parking ni sh ngapi mitaa ya sinza au mwenge?
 
kwa sinza au mwenge jipange kuanzia 200000 kwenda juu .sio dalali ila last week nilikua mitaa hiyo hiyoo kutafuta vyumba description za last person kuchangia mada
 
nitafutie inayofaa ofisi Sinza au Ubungo isizidi 400 kwa mwezi. Nipm pse.
 
nitafutie inayofaa ofisi Sinza au Ubungo isizidi 400 kwa mwezi. Nipm pse.

Kuna mshkaj flan nilimsikia anapangisha ofic iko maeneo ya palestina,ni mzuri ila iko gorofani.....ntajaribu kufuatilia namba zake ikibidi uwasiliane nae.
 
kwa sinza au mwenge jipange kuanzia 200000 kwenda juu .sio dalali ila last week nilikua mitaa hiyo hiyoo kutafuta vyumba description za last person kuchangia mada

kwa hapo sinza vyumba vilikua vinaanzia bei gan mkuu??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom