Wanaona gere

Wanaona gere

🤣🤣Ukimaliza kakojoe upumzike na miguu yako inayochana shuka
Miguu yangu kifafa upate wew inahusu
Miguu yangu HD hii mwanamama wewe.
Wahenga wanasema miguu na uso hufanana hasa kwa mwanamke.
Sasa kwa mantiki hiyo....au bhasi😋😛
 
Kwa niaba ya Mabachela wa JF, napenda kusema "hatuko tayari kuoa mwendawazimu".

Tunawaachia nyie wenye ndoa, kama kuna anaetaka kuongeza tatizo (mke) la pili!
Sisi wenye ndoa kwa umoja wetu tunasema tunahitaji michepuko ili tutulize akili sasa huku mnako tupeleka bora tubaki njia kuu.
 
Kwa niaba ya Mabachela wa JF, napenda kusema "hatuko tayari kuoa mwendawazimu".

Tunawaachia nyie wenye ndoa, kama kuna anaetaka kuongeza tatizo (mke) la pili!
Nani naye anayekutaka humu hakuna maana Hujielewi Kuna wanaume wanataka na wanahangikiwa sio wewe mpuuzi tu Fulani ambaye hujitambui unatrako ambalo halijajuaga mafuta tokea uanze kuoga mwenyewe
 
Njoo basi uwe manzi angu labda naeza kukupelekea moto wenge likate.
Siye tumeshaenda kanani siku nyingi na vyuma vinanyanyuliwa daily hujui tu .

Ila kuwa single kwa men mbaya unakosa nguvu za kiume akija demu Sasa unashindwa ufanyaje unaishia tu kichafua watu
 
Ndugu juzi ulikuwa umeolewa shemeji akaja kabla ya honey moon ukaja kuomba ushauri Leo umeambiwa ziwa ndala Tena 😂 😂😂😂
 
Back
Top Bottom