Kumekuwa na mjadala baada ya Kamati iliyoundwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa kuhakiki mali za chama.
Mara baada ya kamati hiyo kuwasilisha ripoti yake mtu mmoja aliandika taarifa za kumhusisha Dk.Mwakyembe kwamba anahusika katika ufujaji wa mali za chama.
Kimsingi taarifa hizo ni za upotoshaji na hivi sasa vyombo vinavyohusika na mambo ya uchunguzi vimeanza kuchunguza mtu au watu waliosambaza taarifa hiyo ya upotoshaji.
Siku si nyingi atajulikana na hatua zitachukuliwa dhidi yake.
Mara baada ya kamati hiyo kuwasilisha ripoti yake mtu mmoja aliandika taarifa za kumhusisha Dk.Mwakyembe kwamba anahusika katika ufujaji wa mali za chama.
Kimsingi taarifa hizo ni za upotoshaji na hivi sasa vyombo vinavyohusika na mambo ya uchunguzi vimeanza kuchunguza mtu au watu waliosambaza taarifa hiyo ya upotoshaji.
Siku si nyingi atajulikana na hatua zitachukuliwa dhidi yake.