The Republican
Senior Member
- Dec 5, 2021
- 174
- 308
Ni kweli ila ilikuwa hapo mwanzo, sasa hivi ni constituent College lakini mambo mengine yote wanajitegemea.Hiyo ni SAUT ya Mbeya,yaani tawi lake
Nimejaribu kuangalia Prospectus ya chuo lakini hawakui upload kwenye website ya chuo Chao, labda ningepata taarifa nyingi zaidi.Ni kweli ila ilikuwa hapo mwanzo, sasa hivi ni constituent College lakini mambo mengine yote wanajitegemea.
Acha Unafiki na Sanifu sawa? Asante.GENTAMYCINE nakualika kwenye mkeka huu utoe mchango wako.
Npo karibu nacho ......anyway Ni chuo bomba tu....Ndugu wanaJF's, kuna hiki chuo kinachoitwa Cathloic University College of Mbeya(Cucom) basi kwa hivi kinavyofanyiwa matangazo, kijana wangu amevutiwa mno na chuo hicho.
Binafsi katika tafiti zangu nimekiona si chuo kizuri kihivyo na pia si kibaya kwa maana kinatambulika na TCU. lakini nyie wadau mnaweza kutoa Abc za chuo hicho.
Mimi nimemshauri sana aombe walau vyuo vyenye majina kama Udsm, Saut, SUA au hata mzumbe Lakini anadai amevutiwa mno na mandhari yale pamoja na urahisi wa maisha mkoani Mbeya.
Ushauri wenu wadau ni muhimu. Japo siwezi kumzuia lakini naweza kumpa changamoto za huko baada ya ushauri wenu. Ahsanteni.
Ndugu Junior, ushauri wako ni mzuri mno japo nilicheka mwanzo. Matokeo ya kijana kwa kweli ni mazuri mno na anaweza kusoma chuo chochote nchini au hata nje ya nchi. Ajabu baada ya kuona tangazo kwenye runinga basi kavutiwa nacho haswa.Moja ya sifa yake kubwa ni kwamba, wanafunzi wake huwa wanamaliza kama walivyoanza. Sifa kulipa ada Kwa wakati
lipia tangazoNdugu wanaJF's, kuna hiki chuo kinachoitwa Cathloic University College of Mbeya(Cucom) basi kwa hivi kinavyofanyiwa matangazo, kijana wangu amevutiwa mno na chuo hicho.
Binafsi katika tafiti zangu nimekiona si chuo kizuri kihivyo na pia si kibaya kwa maana kinatambulika na TCU. lakini nyie wadau mnaweza kutoa Abc za chuo hicho.
Mimi nimemshauri sana aombe walau vyuo vyenye majina kama Udsm, Saut, SUA au hata mzumbe Lakini anadai amevutiwa mno na mandhari yale pamoja na urahisi wa maisha mkoani Mbeya.
Ushauri wenu wadau ni muhimu. Japo siwezi kumzuia lakini naweza kumpa changamoto za huko baada ya ushauri wenu.
Ahsanteni.
Kwa Sasa wanajitegemea.lkn huyu kijana pengine amevutiwa na umaarufu wa mkoa pendwa wa Mbeya.Hiyo ni SAUT ya Mbeya,yaani tawi lake
Leta sababu la sivyo utakua mropokaji na mjinga kama wajinga wengine.Hakuna shule hapo.
Labda kama anaenda kukua tu.
Usilolujua ni sawasawa na usiku wa giza mm nmesoma chuo Cha gvt, lkn nikuhakikishie miongon mwa vyuo wako siriasi na taaluma huwezi kuwaacha CUCOMHakuna shule hapo.
Labda kama anaenda kukua tu.
Naomba unipe mwangaza zaidi hapa. Nimejaribu kupitia ratiba ama kweli ratiba yao ipo ngumu kidogo yaani siku zote wanakuwa na vipindi tena asubuhi mpaka jioni. Labda waweza kunipa mwangaza zaidi nifanye analysis za mwisho.Usilolujua ni sawasawa na usiku wa giza mm nmesoma chuo Cha gvt, lkn nikuhakikishie miongon mwa vyuo wako siriasi na taaluma huwezi kuwaacha CUCOM
Achane chuki zenu za kijinga
Tupe sababu. Uungwana mi maneno na vitendo. Maoni yako ni muhimu ila si kwa kusingizia hilo jambo halifai.Hakuna shule hapo.
Labda kama anaenda kukua tu.