Goodfellow
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 433
- 56
Upo na huku?!wacha kumpotosha mwenzako!
zikitokea ajira za IT, basi mwenye computer science ndiye mjuzi zaidi hivyo hupata kiurahisi compared to IT. ajira za masuala ya computer na mawasiliano ni lundo, na kwahuko tunakoelekea ni nying zaidi
yaani huyu jamaa anaeitwa KIKOOZI mwogopeni sana, hata akireply kwenye thread yoyote msimtilie maanani. anajifanya mhitimu kidato cha sita, mara ajifanye mtu aliyemaliza chuo toka 2008 na kuwapotosha watu humu ndani, MODS TUONDOLEENI HUYU MTU
huyu kikoozi naskia ni mwongo ila sina uhakika.mkuu mimi naona hukupata chance tu, labda kama hufahamiani na watu, ila hyo kozi ni nzuri tu, na wapo watu wanapiga pesa sehemu mbalimbali. uzuri wa hyo kozi unafanya kazi popote kwenye computer aided.. iwe kwenye makampuni, jeshini, viwandani, mabenki n.k
dogo iyo kozi ni nzuri sana.... kaza buti
amen young watu kama nyie ndo mnaofaa kwa kuiga ubarikiwa ndugu yangu kwan mungu ndie njia kwa kila jambowakati watu wanaomba msaada wa ushauri kwenye jukwaa la udahili wa vyuo, mliwaambia kozi nyingi sana nzuri ikiwemo hii ya compter science. sasahivi ndo mnajifanya kukosoa wakati wameshazijaza na wakachaguliwa. kuna watu wanatokea kwenye familia zisizo na wasomi na hutumia majukwaa kama haya kuomba ushauri, mnachowafanyia sio kizuri kabisa. kijana nenda kasome kama yeye kakosa ajira ni yeye ila hyo kozi ni nzuri chamsingi mtangulize mungu.
nimekupata mkuu naomba tu mungu anijalie uzima nikapambane kwa neema zakeMi nimeisoma coz hiyo... Km una passion na hiyo kitu, inalipa sanaa kabla hata ya ajira... Ila km huipend, utamaliza mwaka wa mwisho unajiona km hujasoma kitu... Course za computer science zinahitaj competence.. Not only g.p.a. coz ajira zake zipo practical zaid kuliko kukaa ofisin na kuandika andika.. Thats whats up!
Piga shule dogo.Pata degree anza kufanya mambo mengine
kama una miaka 22, mpaka umalize una 26 ukianza michakato ya ajira utajikuta una 30 uku hauna kitu, utapanic utataka ukasome masterz utajikuta una 35 na bado patupu, unaweza kufa kwa pressure cha msingi tafuta kitu kingine cha kufanya broh
Ukweli unatakiwa kuwa makini ....utajikaanga na mafuta yako mwenyew kuna rafk angu kasoma course hyo na kaamua kwenda kupga tempo ya kufundisha tu
mimi pia nimechaguliwa hiyo kozi hapo. but i wont let anyone upset me kwakuwa niliijaza mwenyewe kwa passion yangu. ajira ni uchangamfu wako mwenyewe, na sio lazima kuajiriwa tu, kuna kujiajili pia. kaka twende tukapige mzigo
Wewe unamshauri mwenzako asisome software engineering? Wewe upo dunia gani ndug yang, dunia sasa inahama kwenda kufanya kila kitu kuwa coded then unamshauri mwenzako asisome. Wewe kama umesoma software engineering then hauna kazi siyo sababu ya msingi kumkatisha mtu tamaa,pia kama umesoma software engineering then ukamaliza na GPA ya 2.2 who gonna employ you?
Umesoma software engineering unamaliza hata hujui ku create code ya anwani yako?wtf are talking about? Ukisoma software engineering usipoajiriwa u can code au kuomba tenda kwenye makampuni mbali mbali uwe unawaandalia softwares.
Mimi nasoma hii kitu(programming and cyber security) nipo UAH (university of Huntsville Alabama) kama jamaa anapenda kusoma software engineering anitafute pm I will give him software za visual studio and python.
nimekuelewa mkuu vp ajira za serikalini maana mm ndi nazipenda coz ni za kudumu tofauti na hiz za mashirika binafsi coz ukiondoka ndo kwa heri hakuna cha kwenda kuendeleza elimu wala niniMi nimeisoma coz hiyo... Km una passion na hiyo kitu, inalipa sanaa kabla hata ya ajira... Ila km huipend, utamaliza mwaka wa mwisho unajiona km hujasoma kitu... Course za computer science zinahitaj competence.. Not only g.p.a. coz ajira zake zipo practical zaid kuliko kukaa ofisin na kuandika andika.. Thats whats up!
nimekuelewa mkuu vp ajira za serikalini maana mm ndi nazipenda coz ni za kudumu tofauti na hiz za mashirika binafsi coz ukiondoka ndo kwa heri hakuna cha kwenda kuendeleza elimu wala nini
nimekuelewa mkuu vp ajira za serikalini maana mm ndi nazipenda coz ni za kudumu tofauti na hiz za mashirika binafsi coz ukiondoka ndo kwa heri hakuna cha kwenda kuendeleza elimu wala nini
kwa kwel watu wana bahati zao, pia maisha yanabadilika, na kikubwa mwenyezi mungu yupo. nachukia watu ambao wanaongea uongo na kuwakatisha tamaa wengine kwa kwel hawafanyi vyema
nimekupata mkuu naomba tu mungu anijalie uzima nikapambane kwa neema zake
huyu kikoozi naskia ni mwongo ila sina uhakika.
asante kwa kuntia moyo mkuu redbull
yaani huyu jamaa anaeitwa KIKOOZI mwogopeni sana, hata akireply kwenye thread yoyote msimtilie maanani. anajifanya mhitimu kidato cha sita, mara ajifanye mtu aliyemaliza chuo toka 2008 na kuwapotosha watu humu ndani, MODS TUONDOLEENI HUYU MTU