mangonjoli
Senior Member
- Aug 29, 2012
- 154
- 110
Naomba kujua kwanini wote wanaohama CCM wanakimbilia CHADEMA na sio washirika wengine wa UKAWA kama CUF, NCCR au NLD?
Je ni tamaa ya kupata vyeo kwa sababu CHADEMA ndio italayounda serikali?
Kichwa kinauma wadau.
Je ni tamaa ya kupata vyeo kwa sababu CHADEMA ndio italayounda serikali?
Kichwa kinauma wadau.