Wanaohama CCM kwanini wote wanakimbilia CHADEMA?

Wanaohama CCM kwanini wote wanakimbilia CHADEMA?

mangonjoli

Senior Member
Joined
Aug 29, 2012
Posts
154
Reaction score
110
Naomba kujua kwanini wote wanaohama CCM wanakimbilia CHADEMA na sio washirika wengine wa UKAWA kama CUF, NCCR au NLD?

Je ni tamaa ya kupata vyeo kwa sababu CHADEMA ndio italayounda serikali?

Kichwa kinauma wadau.
 
wanaamini chadema itashika nchi, kisha watagawiwa vyeo! it's all about madaraka.
 
Mkuu huo ndio ukweli, chadema ndo iliyotoa mgombea uraisi na makamu, so wanaamini ikishinda Lowassa hatowasahau, tna ukiangalia kwa umakini wanaomfuata ni wale wale walokua timu yake, chadema asilia hawalishtukia hili!
 
Naomba kujua kwanini wote wanaohama CCM wanakimbilia Chadema na Sio Washirika wengine wa UKAWA kama CUF, NCCR au NLD? Je ni tamaa ya kupata vyeo kwa sababu Chadema ndio italayounda serikali? Kichwa kinauma wadau

Mkuu kwani kwann wote wanaoukimbia ukristo wanakimbilia uislam?
 
Ni wale mafisadi waliokuwa hawana amani Ndani ya ccm ' kutoka n'a kunyiwa fulsa Ndani ya ccm wameamua kukimbilia chadema
 
Naomba kujua kwanini wote wanaohama CCM wanakimbilia Chadema na Sio Washirika wengine wa UKAWA kama CUF, NCCR au NLD? Je ni tamaa ya kupata vyeo kwa sababu Chadema ndio italayounda serikali? Kichwa kinauma wadau
Kwa hiyo wao wanafuata madaraka tu? Wanamfuata MCHWA Mkuu.
 
Ni wale mafisadi waliokuwa hawana amani Ndani ya ccm ' kutoka n'a kunyiwa fulsa Ndani ya ccm wameamua kukimbilia chadema
Kinana hakukosea kuwaita Makapi , Msindae, Guninita, Makongoro ni Makapi kwelikweli.
 
Chadema ndio tegemeo LA watanzania kwa sasa. Ni chama cha ukombozi dhidi ya makaburu weusi nchini.
Ni chama chenye misingi mipana ya kidemokrasia.
 
Ni wale mafisadi waliokuwa hawana amani Ndani ya ccm ' kutoka n'a kunyiwa fulsa Ndani ya ccm wameamua kukimbilia chadema
kuna mafisadi wamepitishwa kura za maoni, wangekatwa na wao wangehamia chadema!
 
Ni kwa sababu anayewashawishi wahame CCM yupo CHADEMA
 
Naomba kujua kwanini wote wanaohama CCM wanakimbilia Chadema na Sio Washirika wengine wa UKAWA kama CUF, NCCR au NLD? Je ni tamaa ya kupata vyeo kwa sababu Chadema ndio italayounda serikali? Kichwa kinauma wadau

Mwanza diwani wa zamani wa CCM na wanachama 100 walihamia CUF; Nazir Karamagi kule Bukoba alihamia CUF. Hii information yako ni null, na propaganda tu za Lumumba
 
Back
Top Bottom