Kinana hakukosea kuwaita Makapi , Msindae, Guninita, Makongoro ni Makapi kwelikweli.
makapi ni wale waliokatwa kwenye kura za maoni za urais usiwasingizie hao. sasa kapi Lowasa wataisoma namba maana hata magufuli haoni ndani halafu zamu hii hamuibi maana mbinu zipo huku ukawa.
hayo makapi watajuta kuzaliwa maana ccm wanapumulia ICU ila hawataki kusema na sasa hivi wako kimya mbwabwajaji Nape nae kwa lowasa hasemi kitu utafikiri sio yeye. ccm mmetufikisha hapa imetosha kwa kitu gani mmelipi sh ngapi kumiliki nchi mkishindwa kwa hoja na kura mkubali mmekula vya kutosha. mmefilisika sera.