Wanaodhani ufisadi ni sifa au ujanja wamuulize Manji

Wanaodhani ufisadi ni sifa au ujanja wamuulize Manji

Manji aliuziwa mali hiyo na waislam pia. Na hata manji mwenyewe ni muislam pia

Kumbuka pale chang'ombe kuna Yadi ya Makontena pia. Na kuna shule ya wamisri pia
 
Watanzania Tunapenda sana kutengeneza Chuki na matajiri na tunashindwa kuangalia core ya matatizo yetu.
Watanzania tunashindwa kutofautisha matajiri na matapeli na majizi kama hao kina manji.

Ushasikia tajiri Bakhresa akirushiwa shutuma kama hao kina manji?
 
Ufisadi haulipi, Manji alidhani Waislamu hawajitambui akapora mali zao pale Chang’ombe sasa hayupo wanafaidi wengine!

Wako wanaodhani Ufisadi ni Sifa au Ujanja

Nawasihi wajitafakari sana

Mifano ni mingi

Ahsanteni sana
Manji ameshafariki. Kuna waliolamba tonetone zetu mpaka leo hawajatoa mapato na matumizi na wengine wameshakimbia nchini, hawa wapo hai ndio wa kuanza nao.
 
Watanzania tunashindwa kutofautisha matajiri na matapeli na majizi kama hao kina manji.

Ushasikia tajiri Bakhresa akirushiwa shutuma kama hao kina manji?
Hata binadamu wapo wenye Tabia nzuri na Tabia mbaya, kwa moral point of view Manji haja fanya jambo la kiungwana, ila kama Bakwata wameuza eneo kisheria Manji ana kosa gani?

Hao waliouza hilo eneo mpaka leo wapo uraiani wamejenga na wana maisha mazuri hakuna anayewagusa ila aliyenunua ndio mwenye kosa?
 
Back
Top Bottom