Ndugu zangu wana JF nipo kwenye utafiti wa kufahamu soko la uhakika la asali na bei zake, maana muda wowote kuanzia sasa nataka kuanza kufuga nyuki na nimesha andaa mpango mzima
kwa kuwa uzalishaji utakua mkubwa nataka kupata soko la uhakika lenye bei inayo endana na ghalama za uzalishaji.
kwa yeyote mwenye kujua hili anisaidie
Asante
kwa kuwa uzalishaji utakua mkubwa nataka kupata soko la uhakika lenye bei inayo endana na ghalama za uzalishaji.
kwa yeyote mwenye kujua hili anisaidie
Asante