Kwamba wewe ndio unaumiza au unaumizwa?
Maana kuna baadhi ya wanaume wanadhani mwanamke ni chombo cha starehe na baadhi ya wanawake wanadhani wanaume ni mtambo wa kumhudumia
No sharing... No caring...!
Kwamba wewe ndio unaumiza au unaumizwa?
Maana kuna baadhi ya wanaume wanadhani mwanamke ni chombo cha starehe na baadhi ya wanawake wanadhani wanaume ni mtambo wa kumhudumia
No sharing... No caring...!
Ni mwendo wa kuviziana tu, sema nini mkubwa, ukikutana na mtu sahihi hizi drama huwa hakuna!! Ni vile tu mnakutana na hamhitajiani basi hakuna rangi mtaacha kuoneshana😊