mkuu uko sahihi. jamaa yangu mmoja miaka ya nyuma mke alimkimbia kisa fedha, pamaoja na kuwa jamaa alikuwa anajitahidi mno kuiangalia familia yake , wakafika hadi kuazisha biashara ambayo mwanamke ndiye aliyekuwa akiisimamia, bali huko ktk biashara mwanamke akakutana na wenye pesa zaidi na (waongo) wakamlaghai hadi kuvujika kwa ndoa yao, hadi leo mwanamke yukoyuko tu na jamaa aliendelea baada ya mtikisiko wa kuvunjika kwa ndoa yao.