Kusema ni sawa ama sio sawa sio vyema kwa kua upande wa pili hatuja sikia hoja zake.
Unaweza kuwa na sababu za kumlaumu huyo mwaume kufanya hivyo lakini huyo mwanaume akawa na sababu yenye hoja zaidi kwa kufanya hivyo.
Pole lakini, ujaliwe kujifungua salama.