Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,548
Nimepita maeneo ya kona Kimara na kukuta abiria wametanda barabarani kwenye njia za mwendo kasi.
Baada ya kuulizia ni kwamba toka asubuhi ya saa 11 asubuhi wapo kituoni na mabasi yote yanayo toka kimara na yanayo kwenda kimara hayakusimama kwenye kituo hicho na hapo ilikua ni saa 12 asubuhi kasoro ina maana iuna watu wamekaa zaidi ya dk 40 kituoni bila kusafiri.
Na kituooni hapo palikua giza hakuna umeme. Hivyo abiria baada ya kuona wanapuuzwa wakatoka ndani ya kituo na wakasimama katikati ya barabara ya mabasi yanayo kwenda kimara ili basi lolote litakalo pita lisimame wageuze nalo maana yale yanayo toka kimara yanakuja huku yakiwa yamejaa.
Juhudi zao zimezaa matunda baada ya mabasi kupita ikabidi yasimame kwa amri ya hao abiria, wakapanda kwenda kimara na kisha kugeuza nayo tena hadi kivukoni.
Baada ya kufuatilia kumbe vituo vyote vilikua vimejaa abiria wengi sana wanao subiri usafiri .
Nasikia hii ni mara ya pili abiria kuziba njia ili kupata huu usafiri wa udart.
Walio kuwepo wanaweza kutupa taarifa zaidi
Hizi ni dalili mbaya, UDART jipangeni.
Baada ya kuulizia ni kwamba toka asubuhi ya saa 11 asubuhi wapo kituoni na mabasi yote yanayo toka kimara na yanayo kwenda kimara hayakusimama kwenye kituo hicho na hapo ilikua ni saa 12 asubuhi kasoro ina maana iuna watu wamekaa zaidi ya dk 40 kituoni bila kusafiri.
Na kituooni hapo palikua giza hakuna umeme. Hivyo abiria baada ya kuona wanapuuzwa wakatoka ndani ya kituo na wakasimama katikati ya barabara ya mabasi yanayo kwenda kimara ili basi lolote litakalo pita lisimame wageuze nalo maana yale yanayo toka kimara yanakuja huku yakiwa yamejaa.
Juhudi zao zimezaa matunda baada ya mabasi kupita ikabidi yasimame kwa amri ya hao abiria, wakapanda kwenda kimara na kisha kugeuza nayo tena hadi kivukoni.
Baada ya kufuatilia kumbe vituo vyote vilikua vimejaa abiria wengi sana wanao subiri usafiri .
Nasikia hii ni mara ya pili abiria kuziba njia ili kupata huu usafiri wa udart.
Walio kuwepo wanaweza kutupa taarifa zaidi
Hizi ni dalili mbaya, UDART jipangeni.