Wananchi (Waumini ) wafunga barabara ya Morogoro eneo la Ubungo baada ya Polisi kulizingira Kanisa la Askofu Gwajima

Wananchi (Waumini ) wafunga barabara ya Morogoro eneo la Ubungo baada ya Polisi kulizingira Kanisa la Askofu Gwajima

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Barabara ya UBUNGO kutoka Posta wananchi wameifunga

Hii sasa ni balaa wananchi wanamlinda Askofu wao.

Baadhi ya wananchi ( waumini ) ambao walionekana nje ya Kanisa la Ufufuo na uzima ambalo lipo chini ya Askofu Gwajima wakiwa wamefunga barabara kushinikiza kuto kamatwa kwa Askofu wao na hii ni baada ya taarifa Askofu Josephat Gwajima Kanisa lake usiku huu kuzingirwa na Askari Polisi.

Na hii inakuja baada ya kutoka taarifa Serikali kulifutia usajili Kanisa la Askofu Gwajima kwa kuingilia masuala ya siasa kwa nia ya kuichonganisha Serikali na Wananchi





Updates...
Jeshi la POLISI likiwa na MBWA waliongezeka pia ili kuwaondoa wananchi walioweka kambi kanisa la Gwajima

Polisi wanawaambia wananchi waondoke kabla HAWAJAANZA KAZI.Wananchi wanaendelea kuimba na kuabudu kwenye kanisa lao. Wanatumia haki yao ya kikatiba “UHURU WA KUABUDU”.( Saa tisa dakika 10 usiku)
Gsepc4xWQAAgJUM.jpg


Polisi wamelisogeza gari la maji ya washawasha kuwatisha WANANCHI, chaajabu wananchi waendeea wanashangilia na Ngoma & MAVUVUZELA yanaendelea kupigwa hapa.


Baada ya KUTAWANHISHA WATU, wamepiga mabomu ya MACHOZI, sasa wanafanya mpango wa kuingia ndani ya kanisa kumchukua Askofu Gwajima
 
Hatimaye kile kikundi kidogo kilichokuwa kinasubiliwa ili kuweza kuhuisha uamsho kuelekea kwa Watanganyika kudai haki kimepatikana ni wakati mwingine tena tunaenda kuona Damu ikimwagika.

Damu ambayo imebeba ukombozinwa nchi.


Imetimia... imetimia
 
Arusha, mwanza, shinyanga wakiamsha dude hawa wananchi wenye mioyo inayovuja damu basi tanzania itajiondoa kwenye sifa yake pekee ya nchi ya amani. Better be that.
kaka ulikua unasubiriwa mwanzo tu unaeza kuta kama sio kesho utasikia dasm watu wamekiamsha kama ujuavyo n kama ugonjwa ule akiamza mmoja kotwe kunawaka
 
kaka ulikua unasubiriwa mwanzo tu unaeza kuta kama sio kesho utasikia dasm watu wamekiamsha kama ujuavyo n kama ugonjwa ule akiamza mmoja kotwe kunawaka
Perfect! A dude has set his odds well and he has backups, kutoka kwetu wananchi wenye mioyo inayovuja damu na wenye mamlaka wasiofurahishwa plus our best friends 😅, sitawataja hapa leo.
 
Perfect! A dude has set his odds well and he has backups, kutoka kwetu wananchi wenye mioyo inayovuja damu na wenye mamlaka wasiofurahishwa plus our best friends 😅, sitawataja hapa leo.
kaka tupk wengi hatupendezwi na hauya mamb wengine wako radhi hata kufa ghawana cha kupoteza tena
 
kaka tupk wengi hatupendezwi na hauya mamb wengine wako radhi hata kufa ghawana cha kupoteza tena
Alafu guess what, Gen Z ndio kibao 😅, watu ajira hakuna, uchumi mbaya, watetezi wa haki au wasemaji wanauwawa na kupotezwa? Si wanataka tuseme wacha tuseme nao kwa style hiyo pengine watasikia, ustaarabu kwao mwiko.
 
Back
Top Bottom