beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Watanzania wametoa wito kwa Vyombo vya habari nchini viisaidie nchi kwa kuchunguza vitendo viovu vya serikali yakiwemo masuala ya rushwa na mengineyo.
Nimependezwa na maoni haya ya wananchi. Kwa sababu kama ambavyo Rais John Magufuli anajipambanua kupambana na rushwa, ni vyema wajibu huu ukawa shirikishi kwa maana ya wadau muhimu wa habari ambao wanaweza kufanya uchunguzi na kupata taarifa za matumizi mabaya ya fedha za umma kisha kuyaaniki ili hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya watumishi wasio waaminifu.
Rushwa ni adui.. Adui mkorofi kwelikweli.. Palipo na Rushwa hakuna Haki!
Tupambane..
Nimependezwa na maoni haya ya wananchi. Kwa sababu kama ambavyo Rais John Magufuli anajipambanua kupambana na rushwa, ni vyema wajibu huu ukawa shirikishi kwa maana ya wadau muhimu wa habari ambao wanaweza kufanya uchunguzi na kupata taarifa za matumizi mabaya ya fedha za umma kisha kuyaaniki ili hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya watumishi wasio waaminifu.
Rushwa ni adui.. Adui mkorofi kwelikweli.. Palipo na Rushwa hakuna Haki!
Tupambane..