Wananchi wanakula mizizi Kisarawe


Hayo ndio "maendeleo" yaliyoletwa na magamba bwana! Ndio "maisha bora kwa kila Mtanzania" yaliyoletwa "Kwa Ari Mpya, Kasi Mpya na Nguvu Mpya". Na Kisarawe (kama ilivyo kwa sehemu zingine zenye umaskini mbaya kabisa) ni ngome ya ccm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…