DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,131
Wananchi wa Kata ya Shambalayi Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara wameandana hadi ofisi ya chama cha mapinduzi (CCM) Kupinga uamuzi wa majina yaliyo rudi kuwa hawayahitaji na badala yake majina wanayo yahitaji hayajarudi.
Wananchi hao wamemuomba Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Kuingilia kati kwa kueleza kuwa viongozi waliyo ngazi ya chini wanaweza kumkosesha kura ingawa wao kama wananchama na wananchi wakonae sambamba kwa mitano tena.
Wananchi hao wamemuomba Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Kuingilia kati kwa kueleza kuwa viongozi waliyo ngazi ya chini wanaweza kumkosesha kura ingawa wao kama wananchama na wananchi wakonae sambamba kwa mitano tena.