Eti nae huyu ni Great thinker...Wananchi waliobomolewa makazi yao maeneo mbalimbali jijini Dsm wamegawana ekari 30 za aliyekuwa Waziri Mkuu awamu ya tatu Fredrick Sumaye. Nae asema hana wasiwasi kwani ana vibali halali vya umiliki.
Chanzo: magazetini
usipende kuongeza maneno ambayo hayajatamkwa utakuja nyongwa nchi za watuKauli hii ya kuwa hana wasiwasi ni kama anamaanisha ekari 30 zilizochukuliwa ni kapunje tu wamechuku kwakuwa alijimilikisha ardhi kubwa wakati wa utawala wake.
Wananchi waliobomolewa makazi yao maeneo mbalimbali jijini Dsm wamegawana ekari 30 za aliyekuwa Waziri Mkuu awamu ya tatu Fredrick Sumaye. Nae asema hana wasiwasi kwani ana vibali halali vya umiliki.
Chanzo: magazetini
*********************Asiwatishe wananchi, abainishe alizipataje hizo ekari 30