Wananchi wa jimbo la Bukoba Mjini wamekasirishwa na Serikali ya CCM kukataa kuonyesha Bunge Live

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,319
33,117
Wana CCM warejesha kadi zao.jpg
Wana CCM warejesha kadi zao 1.jpg
Wana CCM warejesha kadi zao 2.jpg


Wananchi wa jimbo la Bukoba Mjini wamekasirishwa kwa kitendo cha Serikali ya CCM kukataa kuonyesha Bunge live,Kutokana na kadhia hiyo jana, Wananchi hawo wakiwamo Wanachama wa Chama cha Mapinduzi wapatao 120 Waliamua kurejesha kadi zao Chadema mbele ya Mbunge wa jimbo hilo Pamoja na Mwenyekiti Wa Bavicha Taifa.

UMMA UMEONA NAMNA WANAVYOPOKWA HAKI ZAO ZA MSINGI, KUENDELEA KUISHABIKIA CCM NI KUENDELEA KULIANGAMIZA TAIFA.
.
 
waandishi wa habari ni kama misukule sasa wanatakiwa wamsusie NAPE kila akiwaita wasiende.sema jamaa wananjaa na kujipendekeza hata wakinyimwa haki yao wao wanakenua tu meno.


swissme
 
Inashangaza sana hawa waandishi wa nchi hii. Badala wasuse kila habari inayohusiana na bunge ili kupinga udhalimu tuliofanyiwa kama Taifa, wao wameendelea kuripoti vihabari vyakutafuniwa.

Bado utaskia wanajiita muhimili wa nne.
 
Back
Top Bottom