GE2025 Wananchi Terati Arusha wafunga barabara wakimkataa Mgombea Udiwani aliyeteuliwa na kamati ya Kata CCM

GE2025 Wananchi Terati Arusha wafunga barabara wakimkataa Mgombea Udiwani aliyeteuliwa na kamati ya Kata CCM

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Wananchi wa kata ya Terati Arusha wamefunga barabara kwa ajili ya kumkataa Mgombea Udiwani ambaye ameteuliwa na kamati ya Kata CCM.

 
Wananchi wa kata ya Terati Arusha wamefunga barabara kwa ajili ya kumkataa Mgombea Udiwani ambaye ameteuliwa na kamati ya Kata CCM.

Vikao vya Kamati za siasa za Wilaya ndo vinakaa leo kwa ajili ya kujadili na kutoa mapendekezo yao kwa kamati za siasa za mikoa.
Vikao vya kamati za siasa za Mikoa vinatarajiwa kukaa kuanzia tarehe 9, ndivyo vitapendekeza majina matatu kwa ajili ya kupigiwa kura.

KInachoendelea hapo ni siasa za maji taka. Wamejuaje kuwa jina lake litarudi?
 
Back
Top Bottom