Wananchi Tarime na dhuluma ya Ardhi yao

Wananchi Tarime na dhuluma ya Ardhi yao

Maikara

Member
Joined
Sep 5, 2018
Posts
9
Reaction score
4
Kuna malalamiko haya yasifumbiwe macho.

Wananchi wa kijiji cha kebweye wanadhulumiwa ardhi yao, na hili limefanyika tangu 1980 wakati kwa makusudi kabisa mkuu wa wilaya ya Tarime na hata mkuu wa mkoa walipoamua kulifumbia macho hadi sasa limekuwa donda lisilotibika.

Hadi nnapoandika mkasa huu wananchi hao hawana wa kuwasikiliza kuanzia mkuu wa wilaya aliyepo sasa hadi kamanda wa kanda maalumu Tarime/ Rorya.

Tunaomba rais amwagize waziri wa ardhi alishighlikie, tumechoka kunyanyasika juu ya haki yetu.

Mbunge nae amekuwa mwiba!
 
yaleyale Mkt CCM na yule wa UVCCM Tarime kuanza chokochoko zenu kwenye mitandao ya kijamii. Mzee si aliwaonya lkn?
 
Haki ni haki tu hata ikizuiliwa karne itajulikana vitisho si suluhisho!!!
 
Zaaneni kwanza mkiwa wengi mkaidai
 
Back
Top Bottom