Tanzania Kwanza 2015
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 452
- 164
Hivi kuna wasira mwingine nini? Maana huyu nimjuaye hata ukatibu kata haumfai kwa nchi zinazo fuata utawala bora...
Kwa hiyo ulitaka wamlilie nani Mbowe au? tulia dawa ikuingie na usiweweseke.