Wananchi wa wilaya ya Mvomero leo wamefikisha rasmi maombi yao kwa mh. Stephen masato Wassira wakimuomba awasaidie kusuluhisha migogoro ya wakulima na wafugaji inayojitokeza mara kwa mara.
Aidha wananchi hao walisikika ktk mazungumzo na mkuu wao wa wilaya Anthony Mtaka kuwa wana imani na mzee Wassira kuwa atakuja kumaliza chokochoko zote baina yao kwani aliweza kumaliza mgogoro wa kuchinja huko Geita baina ya waislam na wakristo hivyo basi hilo limewajengea imani kuwa ana uwezo mkubwa wa kusolve mambo kwa njia ya amani.
Lakini pia wananchi hao walizIdI kuonesha shauku ya kumtaka asibadili nia yake ya kugombea urais kwani ni mtu wa haki na amani siku zote.
Aidha wananchi hao walisikika ktk mazungumzo na mkuu wao wa wilaya Anthony Mtaka kuwa wana imani na mzee Wassira kuwa atakuja kumaliza chokochoko zote baina yao kwani aliweza kumaliza mgogoro wa kuchinja huko Geita baina ya waislam na wakristo hivyo basi hilo limewajengea imani kuwa ana uwezo mkubwa wa kusolve mambo kwa njia ya amani.
Lakini pia wananchi hao walizIdI kuonesha shauku ya kumtaka asibadili nia yake ya kugombea urais kwani ni mtu wa haki na amani siku zote.