Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Tunapoelekea siku ya uchaguzi mkuu mwaka 2020, Raia na Wananchi wengi wenye vyama na wasio na vyama wana hasira za kuindoa serikali ya Chama Cha Mapinduzi hali ambayo inaweza kusababisha kura nyingi za CHADEMA kuharibika kwa sababu wapiga kura wengi ni vijana ambao asilimia kubwa ni mara yao ya kwanza kupiga kura
Hivyo vijana wafundishwe namna ya kupiga kura sababu joto la uchaguzi litachangia kuharibika kwa kura nyingi.
Katika karatasi ya kupiga kura, vijana wengi wanapokua wanapiga kura wanakua na mchecheto mpaka wanapiga Vema kubwa ambayo inatoka nje ya kibox hivyo kura inahesabiwa imeharibika.
Tulinde kura zetu vizuri na Magufuli tumrudishe Chato akapumzike.
Tanzania mpya inakuja.
Nawasilisha.
Hivyo vijana wafundishwe namna ya kupiga kura sababu joto la uchaguzi litachangia kuharibika kwa kura nyingi.
Katika karatasi ya kupiga kura, vijana wengi wanapokua wanapiga kura wanakua na mchecheto mpaka wanapiga Vema kubwa ambayo inatoka nje ya kibox hivyo kura inahesabiwa imeharibika.
Tulinde kura zetu vizuri na Magufuli tumrudishe Chato akapumzike.
Tanzania mpya inakuja.
Nawasilisha.