Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 16,099
- 24,338
Mkoa wa Iringa ambao ni Ngome kuu ya CCM na mkoa wenye UFUKARA ULIOPINDUKIA huku ukijikwamua kwenye ukinawara wa UKIMWI, una wabunge wengi lakini jimbo la Mufindi liligawanywa na kuwa na majimbo mawili, moja la kaskazini. na lingine la kusini.
Mbunge wa jimbo la Mufindi Kaskazini Ndugu, Exaud Kigahe kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Viwanda na Biashara na Hon. David Mwakiposa Kihenzile mtoto wa 1984 ambaye ni mbunge wa Mufindi kusini hakuna kitu wamefanya Bungeni, kwenye halmashauri wala kwa mafukara wa jimbo hilo huku utajiri ukivunwa na makampuni ya Dar es salaam na wana mufindi wakiwa manamba kwenye mashamba ya chai na miti.
Wabunge hawa wawili bila aibu utashangaa 2025 wanadhubutu kutaka tena fomu za kuomgombea, ikumbukwe waliingia kwenye ule UCHAFUZI WA 2020 wa shujaa!
Zaidi ya malori 25 ambayo yanasafirisha bidhaa mbalimbali kutoka kiwanda cha karatasi Mgololo Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa yamekwama kwa zaidi ya siku tano katika Kijiji cha Nyamande na Kitandiliko Halmashauri ya Mji wa Makambako Wilayani Njombe kutokana na ubovu wa barabara katika eneo hilo.Madereva wa magari hayo wamesema changamoto kubwa katika eneo hilo ni Wakala wa barabara kuweka kifusi chenye tope na kusababisha magari kukwama hasa katika kipindi hiki ambacho mvua inanyesha na kuiomba Serikali kutengeneza barabara hiyo kwa kiwango cha lami au changarawe kwani imekuwa na mchango mkubwa kiuchumi.
Inasemekana kundi la CHAWA wameandaa PUNDA kwaajili ya kumpokea "mtoto pekee"huko Arusha!
Mbunge wa jimbo la Mufindi Kaskazini Ndugu, Exaud Kigahe kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Viwanda na Biashara na Hon. David Mwakiposa Kihenzile mtoto wa 1984 ambaye ni mbunge wa Mufindi kusini hakuna kitu wamefanya Bungeni, kwenye halmashauri wala kwa mafukara wa jimbo hilo huku utajiri ukivunwa na makampuni ya Dar es salaam na wana mufindi wakiwa manamba kwenye mashamba ya chai na miti.
Wabunge hawa wawili bila aibu utashangaa 2025 wanadhubutu kutaka tena fomu za kuomgombea, ikumbukwe waliingia kwenye ule UCHAFUZI WA 2020 wa shujaa!
Zaidi ya malori 25 ambayo yanasafirisha bidhaa mbalimbali kutoka kiwanda cha karatasi Mgololo Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa yamekwama kwa zaidi ya siku tano katika Kijiji cha Nyamande na Kitandiliko Halmashauri ya Mji wa Makambako Wilayani Njombe kutokana na ubovu wa barabara katika eneo hilo.Madereva wa magari hayo wamesema changamoto kubwa katika eneo hilo ni Wakala wa barabara kuweka kifusi chenye tope na kusababisha magari kukwama hasa katika kipindi hiki ambacho mvua inanyesha na kuiomba Serikali kutengeneza barabara hiyo kwa kiwango cha lami au changarawe kwani imekuwa na mchango mkubwa kiuchumi.
Inasemekana kundi la CHAWA wameandaa PUNDA kwaajili ya kumpokea "mtoto pekee"huko Arusha!