kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,809
Hii timu ndio iliaminika kuwa mbadala wa Simba na Yanga katika mfumo mzima wa uendeshaji na ili hilo lithibitike lazima timu iwe competitive, lakini naona kama Azam inakoelekea siko kabisa, ilianza vizuri ligi na hii hutokea mara nyingi lakini sasa hivi naona imeanza kurudi nyuma zaidi, mechi 6 mfululizo bila matokeo hii ni dalili mbaya sana.
Hebu tujadili, nini tatizo pale Azam Fc?
Hebu tujadili, nini tatizo pale Azam Fc?